TFRA KUWEKEZA KATIKA UJENZI WA VIWANDA VYA MBOLEA NCHINI
NA MWANDISHI WETU-DODOMA. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dtk Stephane Ngailo amesema kuwa wataendelea kuhimiza na kuhamasisha wawekezaji kushirikiana na serikali ikiwemo kituo cha uwekezaji ,kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya mbolea hapa nchini . Dkt Ngailo Ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na kituo hiki wakati akielezea mipango ya Taasisi hiyo
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed